Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, February 2, 2016

PICHA::TAZAMA MATUKIO YA BUNGENI LEO

 Naibu Spika Mhe.Dkt Tulia Ackson akiingia Bungeni tayari kuongoza Kikao cha 6 cha Mkutano wa pili wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
 Mhe. Balozi Dkt Augustine Maiga akuungia Bungeni tayari kwa kuapishwa.
  Naibu Spika Mhe.Dkt Tulia Ackson akimwapisha Mhe. Balozi Dkt Augustine Maiga.
 Naibu Spika Mhe.Dkt Tulia Ackson akiongoza Kikao cha 6 cha Mkutano wa pili wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
 Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa,majaliwa akiteta jambo na Mwanasheria Mkuu wa SerikaliMhe.George Masaju wakati katika Kikao cha 6 cha Mkutano wa pili wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.

 
 Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.Nape Moses Nnauye akifatilia Kikao cha 6 cha Mkutano wa pili wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
 Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.Prof Jumanne Maghembe akijibu hoja toka kwa Wabunge mbalimbali katika Kikao cha 6 cha Mkutano wa pili wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe.January Makamba akijibu hoja toka kwa Wabunge mbalimbali katika Kikao cha 6 cha Mkutano wa pili wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
 Baadhi ya wageni wakifatilia Kikao cha 6 cha Mkutano wa pili wa Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.

Picha na Raymond Mushumbusi MAELEZO

No comments:

Post a Comment