Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, February 17, 2016

TAZAMA PICHA NA VIDEO:::PAPA APATWA NA HASIRA BAADA YA UMATI KUMSUKUMA NA KUTAKA KUMDONDOKEA MLEMAVU


Askofu Mkuu wa Kanisa Katoli Papa Fransis amewafokea umati wa watu baada ya kumzonga kumsalimia hali iliyopelekea kupoteza balansi na kutaka kumuumiza mlemavu aliyekua kwenye baiskeli ya matairi.Hayo yametokea katika Jiji la Morella Spain


No comments:

Post a Comment