Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, February 1, 2016

TAZAMA PICHA ZA MATUKIO YAKIKAO CHA BUNGE MJINI DODOMA

1
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akiwasili Bungeni katika kuanza kikoa cha Tano cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma
3
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akiongoza sala ya kuliombea Bunge kabala ya kuanza kikao cha Tano cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma

4
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Ashatu Kijaji akiwasilisha hoja ya Serikali kuhusu Mpango wa Maendeleo mwa mwaka mmoja katika kikao cha Tano cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
5
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Hamad Yussuf Massauni akijibu hoja toka kwa wabunge katika kikao cha Tano cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.

 
6
Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Sospeter Muhongo akijibu hoja toka kwa wabunge katika kikao cha Tano cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
7
Naibu Waziri wa Kilimo,Mifugo na Uvuvi Mhe. William Tate Ole Nasha akijibu hoja toka kwa wabunge katika kikao cha Tano cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
8
Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa,Majaliwa akimsikiliza Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Mhe Prof Makame Mbalawa wakati kikao cha Tano cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
9
Naibu Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angelline Mabula akijibu hoja toka kwa wabunge katika kikao cha Tano cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
10
Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa na Michezo Mhe.nape Moses Nnauye akijadiliana jambo na Waziri wa NChi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano Mhe January Makamba wakati kikao cha Tano cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma.
1112
Baadhi ya wabunge wakifatila kikao cha Tano cha Bunge la 11 linaloendelea Mjini Dodoma
Picha na Raymond Mushumbusi MAELEZO

No comments:

Post a Comment