Wanafuzi
106 wa kidato cha sita katika shule ya sekondari ya Namabengo wilaya ya
Namtumbo mkoani Ruvuma wameandamana kwenda kumwona mkuu wa mkoa Said Mwambungu
kumpelekea malalamiko dhidi ya vitendo vya udharirishaji wanavyofanyiwa na
makamu mkuu wa shule hiyo Shaibu Champunga. Ebu wasikilize kupitia RUVUMA TV on
Line.
KATIBU MKUU TRAMEPRO ATOA NENO WAKIADHIMISHA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI
2026
-
SHIRIKA la Dawa Asili na Ulinzi wa Mazingira(TRAMEPRO) limesema linatambua
na kuthamini mchango wao katika kukuza na kuendeleza sekta ya tiba asilia,
amb...
5 hours ago


No comments:
Post a Comment