Wanafuzi
106 wa kidato cha sita katika shule ya sekondari ya Namabengo wilaya ya
Namtumbo mkoani Ruvuma wameandamana kwenda kumwona mkuu wa mkoa Said Mwambungu
kumpelekea malalamiko dhidi ya vitendo vya udharirishaji wanavyofanyiwa na
makamu mkuu wa shule hiyo Shaibu Champunga. Ebu wasikilize kupitia RUVUMA TV on
Line.
Vodacom yazindua simujanja maalumu itakayosaidia wateja wenye ulemavu
-
Balozi wa Pakistani nchini Siraj Ahmad Khan (kushoto), Mkurugenzi wa
Biashara wa Vodacom Tanzania, Linda Riwa (katikati) na Afisa Mtendaji Mkuu
wa kampun...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment