Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Balozi wa Congo Nchini Tanzania Mhe. Mutamba Jean Pierne, wakati Balozi huyo alipomtembelea Makamu wa Rais Ofisini Kwake Ikulu Dar es salaam leo March 07, 2016.
Wakazi 3000 kuelimishwa namna ya kupambana na wanyama wakali
-
ZAIDI ya wakazi 3000 waishio kwenye vijiji vya karibu na hifadhi ya Taifa
ya Serengeti wanatarajiwa kupatiwa elimu ya namna ya kukabiliana na
changamoto ...
55 minutes ago
No comments:
Post a Comment