Katika hali isiyo ya kawaida polisi waliokuwa zamu katika mechi ya Yanga na African Sports wakimzalilisha dereva wa daladala linalofanya kazi zake kati ya Mbagala na Makumbusho nje ya Uwanja wa Taifa Dar es Salaam jambo hili liliwapa watu wengi viulizo maana dereva huyo alipowauliza kwanini wanamkamata tena kwa kumvamia na kuvuta??? Polisi hawa hawakuonyesha hali ya ubinadamu maana wao walivyofanya ni kumdhalilisha dereva. Tunaoomba wahusika waoneni polisi wenu mambo wanayoyafanya, ifike mahali mtu anapotii sheria bila shuruti hata kama hana kosa hakuna haja ya kutumia mabavu.
TANZANIA NA ZAMBIA ZAKUBALIANA KUENDELEA KUTATUA CHANGAMOTO ZA BIASHARA
-
Serikali za Tanzania na Zambia zimefanikiwa kufuta kero nne kati ya kero 15
zilizokuwepo awali ili kurahisisha michakato ya biashara ya nchi hizo
kutegemea...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment