PROFESA JAY: gari langu pekee sasa hivi ni hili
HIPHOP LEGEND wa Tanzania Profesa Jay amesema hana mpango wa kurudi kununua tena magari ya kifahari kama alivyofanya time iliyopita.
amesema “sasa hivi nina gari moja tu aina ya SPACIO, inatumia mafuta kidogo, na inanisaidia kufanya mizunguko vizuri kabisa, ndio maana nawaambia wenzangu wajipange kabisa, kweli magari ya kifahari yanakupa sifa mtaani lakini mwisho wa siku haikusaidii” Prof J
ameongeza kwamba ” nimeshatumia magari niliyoyanunua kwa bei kubwa, MERCEDES BENZ ya milioni 15 & BMW ya milioni 12 ambapo MERCEDES BENZ alipata nayo ajali DJ CHOKA, kitu pekee nilichofanikiwa kukitoa baada ya ajali ni ni ROZARI TU yani kwa ufupi ilinipoteza kabisa, na BMW pia nilichonunulia sio nilichokipata” – PROF J
amesema “sasa hivi nina gari moja tu aina ya SPACIO, inatumia mafuta kidogo, na inanisaidia kufanya mizunguko vizuri kabisa, ndio maana nawaambia wenzangu wajipange kabisa, kweli magari ya kifahari yanakupa sifa mtaani lakini mwisho wa siku haikusaidii” Prof J
ameongeza kwamba ” nimeshatumia magari niliyoyanunua kwa bei kubwa, MERCEDES BENZ ya milioni 15 & BMW ya milioni 12 ambapo MERCEDES BENZ alipata nayo ajali DJ CHOKA, kitu pekee nilichofanikiwa kukitoa baada ya ajali ni ni ROZARI TU yani kwa ufupi ilinipoteza kabisa, na BMW pia nilichonunulia sio nilichokipata” – PROF J
No comments:
Post a Comment