Drama
Boy Herry Sameer Rajab muite Mr Blue Jumapili iliyopita amebahatika
kupata mtoto wa kiume kutoka kwa his long time girlfriend Wahida, Hivi
karibuni pia Dogo Hamidu/Nyandu Toz nae alipata mtoto wa kiume akampa
jina la mshikaji wake yani Herry (Mr Blue). Hii ikiwa ni kushow love kwa
Mr Blue na fans.Mtoto wa Mr Blue amempa jina lake la Herry a.k.a Nyandu Toz. Mr Blue ni baba Herry na Nyandu Toz ni baba Herry..Safi.
BALOZI MUSSA AKAGUA MAJENGO YA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MALAWI
-
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya miradi ya Wizara, Balozi Said Shaib
Mus...
59 minutes ago
No comments:
Post a Comment