Katika
tukio lingine katika club baada ya lile la Chriss Brown na Drake eti
inasemekana walileteana walirushiana chupa club na kupeleka Chriss Brown
kuumia kidevu, huko Hoston watu sita walipigwa risasi katika Southwest
Strip NightClub na watatu kufa papo hapo kati ya majeruhi alikuwepo
rapper kutoka Houston Trae Tha Truth. Habari kutoka MvFox Houston zinasema wawili kati ya hao waliopigwa risasi walikuwepo wavulana wawili na mwanamke mmoja.
TCAA YAKABIDHI SETI YA JEZI KWA TIMU YA MIGUU YA BARA FC
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imeidhamini timu ya mpira ya
chini ya miaka ishirini (U-20) ya Bara FC seti mbili ya jezi wakiwa
wanaelekea...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment