Katika
tukio lingine katika club baada ya lile la Chriss Brown na Drake eti
inasemekana walileteana walirushiana chupa club na kupeleka Chriss Brown
kuumia kidevu, huko Hoston watu sita walipigwa risasi katika Southwest
Strip NightClub na watatu kufa papo hapo kati ya majeruhi alikuwepo
rapper kutoka Houston Trae Tha Truth. Habari kutoka MvFox Houston zinasema wawili kati ya hao waliopigwa risasi walikuwepo wavulana wawili na mwanamke mmoja.
HESLB Yazindua Mfumo wa Akili Unde ‘BWANABOOM’ Kuboresha Huduma kwa Wadau
wa Elimu
-
* Na Mwandishi Wetu – Dodoma*
*Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imezindua rasmi mfumo
mpya wa huduma kwa wateja unaotumia teknolojia ya...
35 minutes ago


No comments:
Post a Comment