Kama nilivyo waataarifu kupitia mtandao wa facebook kwamba kuna boti ilikua inazama ni kweli sasa boti imeshazama na boti ya kampuni ya sea gut iliyokuwa inatoka dar es salaam kwenda unguja,chanzo cha ajali hiyo ni kuzimika kwa injini zote za boti hiyo,endelea kuwa na mimi nitakapopata habari na picha nitaziweka hapa,pole kwa wote waliopatwa na ajali hii.
Airtel, Huawei waimarisha ushirikiano kukuza mageuzi ya kidijitali Tanzania
-
KAMPUNI ya mawasiliano ya simu ya Airtel Tanzania na kampuni ya teknolojia
ya Huawei zimethibitisha upya dhamira yao ya kuendelea kuimarisha huduma za
maw...
1 day ago

No comments:
Post a Comment