Kama nilivyo waataarifu kupitia mtandao wa facebook kwamba kuna boti ilikua inazama ni kweli sasa boti imeshazama na boti ya kampuni ya sea gut iliyokuwa inatoka dar es salaam kwenda unguja,chanzo cha ajali hiyo ni kuzimika kwa injini zote za boti hiyo,endelea kuwa na mimi nitakapopata habari na picha nitaziweka hapa,pole kwa wote waliopatwa na ajali hii.
Mradi wa PACSMAC Wabainisha Suluhisho la Changamoto za Tabianchi kwenye zao
la Kahawa
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
Serikali imejipanga kuwezesha upatikanaji wa maji kwa ajili ya kilimo cha
umwagiliaji katika zao la kahawa, kwa lengo la ku...
5 hours ago

No comments:
Post a Comment