Kama nilivyo waataarifu kupitia mtandao wa facebook kwamba kuna boti ilikua inazama ni kweli sasa boti imeshazama na boti ya kampuni ya sea gut iliyokuwa inatoka dar es salaam kwenda unguja,chanzo cha ajali hiyo ni kuzimika kwa injini zote za boti hiyo,endelea kuwa na mimi nitakapopata habari na picha nitaziweka hapa,pole kwa wote waliopatwa na ajali hii.
MKURUGENZI MKUU MSD:TUNAYO AKIBA YA KUTOSHA DAWA NA VIFAA TIBA NCHINI
-
-Awatoa hofu Watanzania wanaohofia upungufu wa dawa kutokana na mzozo
mashariki ya kati
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
MKURUGENZI Mkuu wa Bohari ya Dawa(MSD)...
13 hours ago

No comments:
Post a Comment