Kama nilivyo waataarifu kupitia mtandao wa facebook kwamba kuna boti ilikua inazama ni kweli sasa boti imeshazama na boti ya kampuni ya sea gut iliyokuwa inatoka dar es salaam kwenda unguja,chanzo cha ajali hiyo ni kuzimika kwa injini zote za boti hiyo,endelea kuwa na mimi nitakapopata habari na picha nitaziweka hapa,pole kwa wote waliopatwa na ajali hii.
Wananchi wa Babati wanufaika na Bima ya Afya kwa Wote, RC Sendiga aongoza
zoezi Imbilili
-
*Na Mwandishi Wetu, Manyara.*
*WANANCHI wa kaya maskini katika Kijiji cha Imbilili, Kata ya Sigino,
Wilaya ya Babati mkoani Manyara, wameanza kunufaika na...
39 minutes ago

No comments:
Post a Comment