![]()
Rais wa Ghana John Evans Fifii Atta Mills enzi za uhai wake.
Rais wa Ghana John Atta Mills amefariki dunia ghafla leo wakati akipata matibabu.
Taarifa kutoka ofisi ya rais zinasema kuwa alifariki ghafla baada ya kupelekwa hospitali siku ya
Jumatatu usiku. Msaidizi wake pia amethibitisha kufariki kwa kiongozi huyo aliyekuwa anajiandaa kugombea tena kiti cha urais. Rais John Atta Mills aliyezaliwa Julai 21, 1944 amefariki akiwa na umri wa miaka 68
RAIS NA AMIRI JESHI MKUU DKT SAMIA ATETA NA WAKUU WA KAMANDI,MATAWI NA
MAKAMANDA WA JWTZ MKOANI TANGA.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt.
Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wakuu wa Kamandi, Wakuu wa Matawi na
Makamand...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment