Watu
zaidi ya 11 wanaripotiwa kufa kufuatia ajali ya mabasi mawili ya abiria
yaliyokuwa yakitokea Nairobi nchini Kenya kuja Dar es Salaam.Ajali hiyo
inaelezwa kuwa imetokea maeneo ya Daraja la mto Wami alfajiri ya leo
Mkoani Pwani.kutoka taarifa ya ITV ya saa sita leo imeeleza ivo tunazidi kufuatilia tutawaletea taarufa zaidi
Kijana wa Mtwara Avunja Ukimya wa Hedhi Salama
-
*Na Mohammed Hammie*
*Wakati masuala ya hedhi yakiendelea kuzungumzwa kwa sauti ya chini katika
jamii nyingi, kijana mmoja kutoka kijiji cha Lipwidi mkoan...
10 hours ago

No comments:
Post a Comment