Watu
zaidi ya 11 wanaripotiwa kufa kufuatia ajali ya mabasi mawili ya abiria
yaliyokuwa yakitokea Nairobi nchini Kenya kuja Dar es Salaam.Ajali hiyo
inaelezwa kuwa imetokea maeneo ya Daraja la mto Wami alfajiri ya leo
Mkoani Pwani.kutoka taarifa ya ITV ya saa sita leo imeeleza ivo tunazidi kufuatilia tutawaletea taarufa zaidi
CRDB YARAHISISHA UPATIKANAJI WA MIKOPO KWA WAFUGAJI
-
Wafugaji nchini wameendelea kunufaika na huduma za kifedha baada ya
kuongezeka kwa uelewa wao kuhusu masuala ya fedha na uwekezaji, hatua
iliyowezesha ku...
18 hours ago

No comments:
Post a Comment