Watu
zaidi ya 11 wanaripotiwa kufa kufuatia ajali ya mabasi mawili ya abiria
yaliyokuwa yakitokea Nairobi nchini Kenya kuja Dar es Salaam.Ajali hiyo
inaelezwa kuwa imetokea maeneo ya Daraja la mto Wami alfajiri ya leo
Mkoani Pwani.kutoka taarifa ya ITV ya saa sita leo imeeleza ivo tunazidi kufuatilia tutawaletea taarufa zaidi
Dkt. Pallangyo Awasihi Wahitimu wa AKU Kuwa Wabunifu na Wenye Maono
-
CHUO Kikuu cha Aga Khan (AKU) kimefanya mahafali 20 kwa mwaka wa masomo
2024/2025, ambapo wahitimu 71 kutoka fani mbalimbali wamepokea shahada za...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment