Watu
zaidi ya 11 wanaripotiwa kufa kufuatia ajali ya mabasi mawili ya abiria
yaliyokuwa yakitokea Nairobi nchini Kenya kuja Dar es Salaam.Ajali hiyo
inaelezwa kuwa imetokea maeneo ya Daraja la mto Wami alfajiri ya leo
Mkoani Pwani.kutoka taarifa ya ITV ya saa sita leo imeeleza ivo tunazidi kufuatilia tutawaletea taarufa zaidi
JAFO ARIDHISHWA NA UJENZI WA MABWENI NA MADARASA SHULE YA SEKONDARI DK.
SELEMANI JAFO
-
*MBUNGE wa Jimbo la Kisarawe, Dkt. Selemani Jafo,akikagua ujenzi wa
mabweni mawili na madarasa katika Shule ya Sekondari Dkt.Selemani
Jafo,wakati wa...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment