Watu
zaidi ya 11 wanaripotiwa kufa kufuatia ajali ya mabasi mawili ya abiria
yaliyokuwa yakitokea Nairobi nchini Kenya kuja Dar es Salaam.Ajali hiyo
inaelezwa kuwa imetokea maeneo ya Daraja la mto Wami alfajiri ya leo
Mkoani Pwani.kutoka taarifa ya ITV ya saa sita leo imeeleza ivo tunazidi kufuatilia tutawaletea taarufa zaidi
NMB kukuza Vipaji vya Ubunifu, Mageuzi ya Kidijitali UDSM Co-ICT
-
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
BENKI ya NMB na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), wamesaini mkataba wa
makubaliano ya ushirikiano, unaolenga Kukuza V...
31 minutes ago
No comments:
Post a Comment