MTOTO
mmoja ambaye hakufahamika jina lake, amefariki dunia katika ajali ya
gari eneo la Kigamboni Machava leo wakati gari hilo likitokea Mji Mwema
kuelekea Kivukoni. Ajali hiyo imetokea baada ya gari hilo lenye namba za
usajili T 645 AVG kufunga breki ghafla kutokana na gari lililokuwa
mbele yake nalo kusimama ghafla hivyo kusababisha gari hilo kuingia
mtaroni na kupoteza uhai wa mtoto huyo.
DKT. MWIGULU: WEZI WA FEDHA ZA UMMA WASIHAMISHWE, WAKAMATWE MARA MOJA
-
Na Janeth Raphael -MichuziTv Singida
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba,
ameagiza kuchukuliwa hatua kali za kisheri...
13 hours ago

No comments:
Post a Comment