MTOTO
mmoja ambaye hakufahamika jina lake, amefariki dunia katika ajali ya
gari eneo la Kigamboni Machava leo wakati gari hilo likitokea Mji Mwema
kuelekea Kivukoni. Ajali hiyo imetokea baada ya gari hilo lenye namba za
usajili T 645 AVG kufunga breki ghafla kutokana na gari lililokuwa
mbele yake nalo kusimama ghafla hivyo kusababisha gari hilo kuingia
mtaroni na kupoteza uhai wa mtoto huyo.
UJENZI WA SOKO LA KIMATAIFA LA VITUNGUU SINGIDA KIPAUMBELE CHA CCM
-
Chama Cha Mapinduzi kimetaka kumalizwa haraka kwa ujenzi wa Soko la
Kimataifala Vitunguu katika Manispaa ya Singida.
Maelekezo hayo yametokewa leo tarehe...
59 minutes ago

No comments:
Post a Comment