MTOTO
mmoja ambaye hakufahamika jina lake, amefariki dunia katika ajali ya
gari eneo la Kigamboni Machava leo wakati gari hilo likitokea Mji Mwema
kuelekea Kivukoni. Ajali hiyo imetokea baada ya gari hilo lenye namba za
usajili T 645 AVG kufunga breki ghafla kutokana na gari lililokuwa
mbele yake nalo kusimama ghafla hivyo kusababisha gari hilo kuingia
mtaroni na kupoteza uhai wa mtoto huyo.
BALOZI NCHIMBI AJIANDIKISHA KUPIGA KURA SERIKALI ZA MITAA, ATOA WITO WATU
KUJITOKEZA KWA WINGI
-
Na Mwandishi Maalum, Dodoma
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi
amejiandikisha kwenye daftari la wakazi katika mtaa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment