Mgombea
wa kiti cha umeya katika Halmashauri ya jiji la Mwanza kupitia CCM na
diwani wa kata ya Mkolani Ndg Stanslaus Mabula, ameshinda kiti cha umeya
kwa jumla ya kura 11 dhidi ya mgombea wa CHADEMA diwani wa kata ya
Mahina Ndg Charles Chinchibera aliyepata kura 8.
Serikali yaweka Mkakati Sekta ya Uzalishaji wa Dawa, yaanzisha Vivutio
Maalum Mloganzila na Kibaha
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam*
*Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza uwekezaji mkubwa wa
kimkakati katika sekta ya uzalishaji wa daw...
3 hours ago


No comments:
Post a Comment