Mgombea
wa kiti cha umeya katika Halmashauri ya jiji la Mwanza kupitia CCM na
diwani wa kata ya Mkolani Ndg Stanslaus Mabula, ameshinda kiti cha umeya
kwa jumla ya kura 11 dhidi ya mgombea wa CHADEMA diwani wa kata ya
Mahina Ndg Charles Chinchibera aliyepata kura 8.
MHANDISI JOANES AWATAKA OLCHORONYORI KUWA MABALOZI WA KUKABILIANA NA
MABADILIKO YA TABIANCHI
-
Na Mwandishi wetu, Simanjiro
HALMSHAURI ya Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, baada ya kupata mradi wa
mpango wa kukabiliana na mabadiliko ya Tabianchi (S...
15 hours ago


No comments:
Post a Comment