Mgombea
wa kiti cha umeya katika Halmashauri ya jiji la Mwanza kupitia CCM na
diwani wa kata ya Mkolani Ndg Stanslaus Mabula, ameshinda kiti cha umeya
kwa jumla ya kura 11 dhidi ya mgombea wa CHADEMA diwani wa kata ya
Mahina Ndg Charles Chinchibera aliyepata kura 8.
WASTAAFU WA TRA WAHIMIZA ULIPAJI KODI, WAKIIMARISHA UMOJA WAO
-
Harry Kitilya Kamshna Mstaafu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),
akizungumza na waandishi wa habari katika sherehe ya wastaafu wa TRA
iliyofanyika jiji...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment