Pia kuhusu Dogo Janja kutoa Chorus za Tunda Man kwenye Nyimbo zake ,Tunda amesema jambo kama hilo linawezekana na tumeone wasanii wengi wakifanya hivyo.Beat za nyimbo zipo na sauti zake so ni kitu cha kufanya tu sio issue kubwa sababu huwezi ukasema nipo na TIPTOP Alafu unawatambulisha Watanashati.
Magazetini Leo Februari 23, 2026; Tunasikitishwa - Kamishna Jenerali DCEA
-
Copyright 2007-2026 @KAJUNASON BLOG
37 minutes ago

No comments:
Post a Comment