Hizi
ndiyo hekaheka za lala salama za tamasha la Serengeti Fiesta 2012
linalotarajiwa kufanyika kesho kwenye viwanja vya Leaders Kinondoni
jijini Dar es salaam ambapo Rick Ross “The Boss”mwanamuziki wa Hiphop
kutoka nchini Marekani anatarajiwa kuongoza wanamuziki wa muziki wa
Bongofleva wa nchini Tanzania kukonga nyoyo za mashabiki hao, hii ndiyo
hali halisi inavyoendelea katika maandalizi ya kuhakikisha tamasha hilo
linafana (Serengeti Fiesta 2012 Bhaaassss)
SERIKALI, KOFIH KUIMARISHA MAPAMBANO DHIDI MAGONJWA YA MLIPUKO
-
Na Clement Robert, WAF – Dar es Salaam
Wizara ya afya kupitia maabara ya taifa ngazi ya jamii imefanya mapitio ya
mradi wa kazi za mwaka wa tatu na shiri...
1 hour ago





















No comments:
Post a Comment