Hizi
ndiyo hekaheka za lala salama za tamasha la Serengeti Fiesta 2012
linalotarajiwa kufanyika kesho kwenye viwanja vya Leaders Kinondoni
jijini Dar es salaam ambapo Rick Ross “The Boss”mwanamuziki wa Hiphop
kutoka nchini Marekani anatarajiwa kuongoza wanamuziki wa muziki wa
Bongofleva wa nchini Tanzania kukonga nyoyo za mashabiki hao, hii ndiyo
hali halisi inavyoendelea katika maandalizi ya kuhakikisha tamasha hilo
linafana (Serengeti Fiesta 2012 Bhaaassss)
Serikali yaweka Mkakati Sekta ya Uzalishaji wa Dawa, yaanzisha Vivutio
Maalum Mloganzila na Kibaha
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam*
*Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza uwekezaji mkubwa wa
kimkakati katika sekta ya uzalishaji wa daw...
2 hours ago





















No comments:
Post a Comment