Amir farid baada ya kuoneka akiwa na familia yake
ni kutoka huko zanzibar kwamba yule kiongozi
wa uamsho aliyekuwa amepotea amepatikana eneo lile lile alilopotelea na
amehojiwa amesema kwamba yupo salama na amesema kwamba alitekwa na
polisi na watu wa usalama na amesema kesho ataongea na vyombo vya
habari.
BUNGE LA 13 LAUNDA LAMATI 17, UPINZANI WAPENYA HUKU WANAWAKE WAKIWA WENGI
ZAIDI
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Bunge la 13 limeunda jumla ya Kamati 17 huku wanawake wengi wakichomoza
kuongoza kamati hizo, Wabunge wa upinzani wa C...
24 minutes ago


No comments:
Post a Comment