Amir farid baada ya kuoneka akiwa na familia yake
ni kutoka huko zanzibar kwamba yule kiongozi
wa uamsho aliyekuwa amepotea amepatikana eneo lile lile alilopotelea na
amehojiwa amesema kwamba yupo salama na amesema kwamba alitekwa na
polisi na watu wa usalama na amesema kesho ataongea na vyombo vya
habari.
MIAKA 18 BAADAYE: JK AKUTANA TENA NA CATHERINE, BINTI ALIYEFANYIWA UPASUAJI
WA MOYO AKIWA NA MIAKA MINNE
-
RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo Mei 29, 2026
amekutana tena na Bi. Catherine P. Conrad Minja, aliyefanyiwa upasuaji wa
moy...
16 hours ago


No comments:
Post a Comment