Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, October 6, 2012

MAN CITY YAPATA USHINDI MNONO DHIDI YA SUNDERLAND


Mabao ya Aleksandar Kolarov, Sergio Aguero na James Milner yameipa Manchester City ushindi wa 3-0 katika Ligi Kuu ya England joni hii dhidi ya Sunderland. Ushindi huo, umeifanya Man City itimize pointi 15 baada ya kucheza mechi saba na inashika nafasi ya pili, nyuma ya Chelsea inayoongoza kwa pointi zake 16, ambayo hivi sasa inacheza mechi ya saba nayo dhidi ya Norwich.
Centre of attention: Kolarov is mobbed after opening the scoring at the Etihad Stadium
Kolarov akipongezwa kufunga bao la kwanza Uwanja wa Etihad

On target: The Serbia international gave City the lead with his first-half free-kick
Mserbia huyo anafunga bao la kuongoza kwa mpira wa adhabu
Advantage City: Aguero gave the hosts a 2-0 lead in the second half
Aguero anagunga la pili 2-0 kipindi cha pili

Ace: Aguero scored shortly after coming on as a substitute
Lilikuwa shuti la pili la Aguero tangu aingie na anafunga
 
City slickers: The champions closed the gap to Chelsea at the summit of the Premier League
Mabingwa hao watetezi sasa wapo jirani na Chelsea kileleni mwa Ligi Kuu
Game over: Balotelli walked straight down the tunnel after he was substituted
Balotelli akiumaliza Uwanja baada ya kutolewa

No comments:

Post a Comment