Meneja wa
NMB Kanda ya Kati Bi. Lilian Mwinula (wa pili kulia) akikabidhi vifaa
mbali mbali vya michezo vyenye thamani ya shilingi milioni 10 kwa ajili
ya Bonanza kwa Makamu Mkuu wa Chuo cha Dodoma Prof. Idris Kikula mkoani
Dodoma. Akiangalia (kulia) ni Meneja NMB UDOM Bw. Alex Mpagama.
MIAKA 18 BAADAYE: JK AKUTANA TENA NA CATHERINE, BINTI ALIYEFANYIWA UPASUAJI
WA MOYO AKIWA NA MIAKA MINNE
-
RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo Mei 29, 2026
amekutana tena na Bi. Catherine P. Conrad Minja, aliyefanyiwa upasuaji wa
moy...
1 day ago

No comments:
Post a Comment