Taasisi
ya Lions Club ya jijini Dar es Salaam inaendesha zoezi la kukusanya
michango ya fedha kwa ajili ya kuwasaidia watoto wasio na uwezo wenye
matatizo ya moyo kupata matibabu. Unaweza kutoa mchango wako hata kwa
njia ya hundi kuiongezea nguvu Lions Club. Kwa maelezo zaidi tafadhali
wasiliana na Rais wa Lions Club Nimira Gangji kwa nambari +255715979966.
SERIKALI YAFAFANUA JINSI WANAWAKE WA VIJIJINI WANAVYONUFAIKA NA MIKOPO YA
ASILIMIA 10 YA HALMASHAURI
-
SERIKALI YAFAFANUA JINSI WANAWAKE WA VIJIJINI WANAVYONUFAIKA NA MIKOPO YA
ASILIMIA 10 YA HALMASHAURI
Na Janeth Raphael MichuziTv Bungeni - Dodoma
Serik...
4 hours ago


No comments:
Post a Comment