Taasisi
ya Lions Club ya jijini Dar es Salaam inaendesha zoezi la kukusanya
michango ya fedha kwa ajili ya kuwasaidia watoto wasio na uwezo wenye
matatizo ya moyo kupata matibabu. Unaweza kutoa mchango wako hata kwa
njia ya hundi kuiongezea nguvu Lions Club. Kwa maelezo zaidi tafadhali
wasiliana na Rais wa Lions Club Nimira Gangji kwa nambari +255715979966.
WAJA ATEMBELEA BARABARA ZILIZOATHIRIWA NA MVUA GEITA, ATOA MATUMAINI.
-
Na Nasra Ismail, Geita
Wananchi wa Mitaa ya Magogo Ibolelo na 14 Kambarage, Kata ya Buhalahala,
Manispaa ya Geita, wamemuomba Mbunge wa Jimbo la Geita Mj...
53 minutes ago


No comments:
Post a Comment