Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, November 15, 2012

Dar Express Chupupu...!


Basi la Dar Express lililokuwa likitoka Dar es Salaam kwenda mkoani Arusha lilinusurika kuanguka baada ya kuacha njia na kugonga ukingo wa barabara ya Chalinze, Segera kama linavyoonekana katika picha

No comments:

Post a Comment