Wachezaji
wa Kilimanajro Stars inayoiwakilisha Tanzania Bara wakiwa mazoezini
katika Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza ikiwa ni maandalizi ya
mashindano ya Kombe la Tusker CECAFA Challenge yanayotarajiwa kuanza
Jijini Kampala, Uganda Jumamosi hii. Timu hii inadhaminiwa na Bia ya
Kilimanjaro Premium Lager.
TANROADS YAANZA UTEKELEZAJI MAAGIZO YA WAZIRI BASHUNGWA//YATANGAZA ZABUNI
UJENZI MADARAJA YA CHAKWALE NA NGUYAMI
-
Wakala ya barabara Tanzania (TANROADS) umeanza kutekeleza maagizo ya Waziri
wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa aliyoyatoa Februari 22, 2024 wakati wa
ziara ...
48 minutes ago
No comments:
Post a Comment