Hodihodi KIBAHA! WANACCM NA WANANCHI
WOTE WA MIKOA YA DSM, PWANI NA MORO, NAWAKARIBISHA KTK MKUTANO WA
HADHARA NITAKAOHUTUBIA KIBAHA. NJOO UPATE UKWELI, UPATE MATUMAINI UANZE
MWAKA VIZURI. NITAWAPOKEA MADIWANI WAWILI WANAOHAMIA CCM TOKEA CHADEMA.
TAYARI DIWANI WA IHANJA AMEJIUZURU JANA UDIWANI KWA KUKATAZWA KUSHIRIKI
SHUGHULI ZA MAENDELEO NA VIONGOZI WA CHADEMA TAIFA. NITAHIMIZA SHUGHULI
ZA MAENDELEO, KUKAGUA MIRADI NA PIA NITAONGELEA WABUNGE SABA 7 WA
CHADEMA WALIOOMBA KUHAMIA CCM TOKEA CHADEMA NA MAMBO YALIOWASIBU.
Hatari Isiyoonekana: Teknolojia Mpya ya Tanzania Yaanza vita dhidi ya Sumu
Kuvu
-
Na Karama Kenyunko, Michuzi TV
KATIKA ghala moja la kuhifadhi mazao nchini Tanzania, mfumo wa
kielektroniki unapiga kengele. Dakika chache baadaye, ujumbe...
12 hours ago


No comments:
Post a Comment