Hodihodi KIBAHA! WANACCM NA WANANCHI
WOTE WA MIKOA YA DSM, PWANI NA MORO, NAWAKARIBISHA KTK MKUTANO WA
HADHARA NITAKAOHUTUBIA KIBAHA. NJOO UPATE UKWELI, UPATE MATUMAINI UANZE
MWAKA VIZURI. NITAWAPOKEA MADIWANI WAWILI WANAOHAMIA CCM TOKEA CHADEMA.
TAYARI DIWANI WA IHANJA AMEJIUZURU JANA UDIWANI KWA KUKATAZWA KUSHIRIKI
SHUGHULI ZA MAENDELEO NA VIONGOZI WA CHADEMA TAIFA. NITAHIMIZA SHUGHULI
ZA MAENDELEO, KUKAGUA MIRADI NA PIA NITAONGELEA WABUNGE SABA 7 WA
CHADEMA WALIOOMBA KUHAMIA CCM TOKEA CHADEMA NA MAMBO YALIOWASIBU.
NBAA YAENDELEA KUTOA ELIMU YA TAALUMA YA UHASIBU KWA WANAFUNZI WA CHUO
KIKUU CHA MZUMBE
-
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) imeendelea
kutoa elimu na mafunzo kwa vyuo vikuu pamoja na shule za sekondari ikiwa na ...
16 hours ago


No comments:
Post a Comment