Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, December 14, 2012

SHEREHE YA MIAKA 15 YA BENDI YA FM ACADEMI KUFANYIKA DESEMBA 14 JIJINI DAR ES SALAAM



Ofisa Masoko wa Kampuni ya Tigo Bw.Alex Msigara.(kulia)Akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo kwenye Hotel ya Southen Sun jijini Dar es salaam juu ya kudhamini maadhimisho ya miaka 15 ya bendi ya muziki ya FM Academia,Sherehe hiyo itafanyika tarehe 14 Desemba mwaka huu msasani Beach Club ,Ambapo amesema wao  kama Tigo wameamua kufunga mwaka kwa kusaidia jamii wanayoihudumia katika Nyanja zote ikiwemo ya burudani kama sehemu ya shughuli zao za kijamii .
Amesema Tigo itatuma ujumbe mfupi wa maneno kwa wateja wote wa jiji la Dar es salaam kuwapa taarifa kuhusu maadhimisho hayo ya miaka ya 15 ya bendi ya FM Academia.(katikati)Mwimbaji wa bendi hiyo Bw.Nyoshi El Sadaat.(kushoto)mratibu wa onesho hilo  Bw.Nasibu Mahinya.
Mwimbaji wa bendi hiyo Bw.NyoshI El Sadaat,(kulia)akiishukuru kampuni ya tigo kwa kudhamini sherehe hiyo,(kuli kwake) mratibu wa onesho hilo Bw.Nasibu Mahinya.na Mule mule F.B.I pamoja na Apstote Shungu.

No comments:

Post a Comment