Ndio,
hiki unachokiona kwenye picha hii kinaitwa gari, ambalo anatumia
mheshimiwa rais wa taifa korofi na lenye kupenda kujihisi mbabe wa
dunia, namaanisha Marekani. Hebu litizame kwa uzuri, soma na maelezo ya
kila kilichomo, kisha jiulize, kama hili linaitwa gari, hicho chombo
chako cha usafiri unachotumia kinastahili kuitwa gari kweli?
DED GEITA DC AMUELEKEZA MKANDARASI KUKAMILISHA SOKO LA KISASA NKOME KWA
WAKATI
-
Na Nasra Ismail, Geita
MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Geita, Karia Rajab Magaro,
Juni 25, 2026 ametembelea mradi wa ujenzi wa Soko la Ki...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment