Ndio,
hiki unachokiona kwenye picha hii kinaitwa gari, ambalo anatumia
mheshimiwa rais wa taifa korofi na lenye kupenda kujihisi mbabe wa
dunia, namaanisha Marekani. Hebu litizame kwa uzuri, soma na maelezo ya
kila kilichomo, kisha jiulize, kama hili linaitwa gari, hicho chombo
chako cha usafiri unachotumia kinastahili kuitwa gari kweli?
SERIKALI YAIMARISHA UWAZI SEKTA YA MADINI, BEI ELEKEZI KUTOLEWA KILA SIKU
-
Serikali kupitia Tume ya Madini imesema itaendelea kutoa bei elekezi za
madini ya dhahabu, shaba na fedha kila siku itakayotumika kwenye masoko na
vituo vy...
5 minutes ago

No comments:
Post a Comment