Ndio,
hiki unachokiona kwenye picha hii kinaitwa gari, ambalo anatumia
mheshimiwa rais wa taifa korofi na lenye kupenda kujihisi mbabe wa
dunia, namaanisha Marekani. Hebu litizame kwa uzuri, soma na maelezo ya
kila kilichomo, kisha jiulize, kama hili linaitwa gari, hicho chombo
chako cha usafiri unachotumia kinastahili kuitwa gari kweli?
Naibu Waziri Kisuo Aitaka OSHA Kutoa Elimu Endelevu kwa Wafanyabiashara
Ndogo
-
Awasisitiza Wafanyabiashara Kulinda Amani ya Tanzania
Na: OWM - KAM
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano Mhe. Rahma
Kisuo ameit...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment