Ndio,
hiki unachokiona kwenye picha hii kinaitwa gari, ambalo anatumia
mheshimiwa rais wa taifa korofi na lenye kupenda kujihisi mbabe wa
dunia, namaanisha Marekani. Hebu litizame kwa uzuri, soma na maelezo ya
kila kilichomo, kisha jiulize, kama hili linaitwa gari, hicho chombo
chako cha usafiri unachotumia kinastahili kuitwa gari kweli?
Mariam Ibrahim Ahimiza Matumizi ya Nishati Safi Mkuranga
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, ameendelea
kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia.*
*Ameyasema hayo le...
18 hours ago

No comments:
Post a Comment