Ndio,
hiki unachokiona kwenye picha hii kinaitwa gari, ambalo anatumia
mheshimiwa rais wa taifa korofi na lenye kupenda kujihisi mbabe wa
dunia, namaanisha Marekani. Hebu litizame kwa uzuri, soma na maelezo ya
kila kilichomo, kisha jiulize, kama hili linaitwa gari, hicho chombo
chako cha usafiri unachotumia kinastahili kuitwa gari kweli?
KAMATI YA BUNGE UWEKEZAJI MITAJI YA UMMA YARIDHISWA NA MRADI WA MAKAZI WA
CANADIAN MASAKI
-
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma
(PIC), Masanja Kadogosa, leo Machi 24, 2026 ameongoza ziara ya ukaguzi wa
mradi...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment