Ndio,
hiki unachokiona kwenye picha hii kinaitwa gari, ambalo anatumia
mheshimiwa rais wa taifa korofi na lenye kupenda kujihisi mbabe wa
dunia, namaanisha Marekani. Hebu litizame kwa uzuri, soma na maelezo ya
kila kilichomo, kisha jiulize, kama hili linaitwa gari, hicho chombo
chako cha usafiri unachotumia kinastahili kuitwa gari kweli?
PPAA: Moduli Mpya Yaongeza Ufanisi katika Usimamizi wa Malalamiko na Rufaa
za Ununuzi wa Umma
-
Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) imesema jumla ya malalamiko 549
(Administrative Reviews) yamewasilishwa na kushughulikiwa na Taasisi Nunuzi
kupit...
19 minutes ago

No comments:
Post a Comment