Ndio,
hiki unachokiona kwenye picha hii kinaitwa gari, ambalo anatumia
mheshimiwa rais wa taifa korofi na lenye kupenda kujihisi mbabe wa
dunia, namaanisha Marekani. Hebu litizame kwa uzuri, soma na maelezo ya
kila kilichomo, kisha jiulize, kama hili linaitwa gari, hicho chombo
chako cha usafiri unachotumia kinastahili kuitwa gari kweli?
NAIBU WAZIRI KIHENZILE AFUNGUA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA MAPITIO YA SEKTA
YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025 amefungua
rasmi Mkutano wa 18 wa Pamoja wa Mapitio ya Sekta ya Usafirishaji
unaofanyi...
30 minutes ago

No comments:
Post a Comment