Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, January 22, 2013

LOWASSA, WABUNGE WANAWAKE NA WAAJIRI WATOA MAONI YA KATIKA MPYA




Waziri Mkuu mstaafu, Mhe. Edward Lowassaa kizungumza na wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano bainayao uliofanyika leo katika ofisiza Tume jijini Dar es Salaam, ambapo alitoa maoni na uzoefu wake katika uandishi wa Katiba Mpya. Kuliani Mjumbewa Tume Bi. Maria Kashonda.
WaziriMkuumstaafu, Mhe. Edward Waziri Mkuu mstaafu, Mhe. Edward Lowassaa kizungumza na wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano bainayao uliofanyika leo katika ofisiza Tume jijini Dar es Salaam, ambapo alitoa maoni na uzoefu wake katika uandishi wa Katiba Mpya. Katikati ni Mwenyekiti waTume hiyo, Jaji Joseph Warioba na Mjumbe wa Tume, Dkt. Salim Ahmed Salim.
Waziri Mkuu mstaafu, Mhe. Edward Lowassaa kizungumza na wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano bainayao uliofanyika leo katika ofisiza Tume jijini Dar es Salaam, ambapo alitoa maoni na uzoefu wake katika uandishi wa Katiba Mpya. Wengine pichani ni Wajumbe waTume, Waziri Mkuu mstaafu, Dkt. Salim Ahmed Salim, Bi. Maria Kashonda na Dkt. Sengondo Mvungi.
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk. Salim Ahmed Salim (kushoto) akibadilishana mawazo na Waziri Mkuu mstaafu, Mhe. Edward Lowassa (katikati) nje ya ukumbiwa mikutano wa Tume hiyo, marabaada ya Mhe. Lowassa kuwaslisha maoni na uzoefu wake kuhusu uandishi wa Katiba Mpya. Kulia ni Mjumbe wa Tume, Bi. Maria Koashonda.
Katibu wa Chama cha Wabunge Wanawake wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye piani Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Angelllah Kairuki akiwalisha maoni ya Chama hicho kuhusu Katiba Mpya kwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba wakati wa mkutano wao uliofanyikaleo katika ukumbi wa Karimjee Jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), Bw. Almas Maige akizungumza na wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika mkutano bainayao uliofanyika leo  ambapo ATE iliwasilisha maoniyao kuhusu Katiba Mpya.
 Mjumbewa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bw. Omari Sheha Mussaa kizungumza na ujumbe kutoka Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) katika mkutano bainayao uliofanyika leo katika ofisi zaTume hiyo, Jijini Dar es Salaam, ambapo ATE iliwasilisha maoniyao kuhusu Katiba Mpya.

No comments:

Post a Comment