Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, January 22, 2013

ALLY REMTULLAH KUIPEPERUSHA AFRIKA MASHARIKI KATIKA MKUTANO WA ‘THE ECONOMICS OF THE AFRICA FASHION INDUSTRY’ CHUO KIKUU CHA HARVARD JIJINI BOSTON MAREKANI



Meneja Masoko wa Kampuni ya Tanzania Hair Industry ltd James Walwa – Jimmy akimkabidhi mbunifu wa mavazi nchini Ally Rehmtullah tiketi kwa ajili ya kwenda kuiwakilisha Afrika Mashariki katika mkutano wa ‘The Economics of the Africa Fashion Industry’ utakaofanyika nchini Marekani mwezi wa Februari. Tanzania Hair Industry ltd ambao ndio watengenezaji wa nywele maarufu aina ya Darling ndio wadhamini wa safari ya mbunifu huyu kwenye mkutano huo wa kihistoria utakaofanyika katika Kikuu cha Havard nchini Marekani.

No comments:

Post a Comment