Meneja
Masoko wa Kampuni ya Tanzania Hair Industry ltd James Walwa – Jimmy
akimkabidhi mbunifu wa mavazi nchini Ally Rehmtullah tiketi kwa ajili ya
kwenda kuiwakilisha Afrika Mashariki katika mkutano wa ‘The Economics
of the Africa Fashion Industry’ utakaofanyika nchini Marekani mwezi wa
Februari. Tanzania Hair Industry ltd ambao ndio watengenezaji wa nywele
maarufu aina ya Darling ndio wadhamini wa safari ya mbunifu huyu kwenye
mkutano huo wa kihistoria utakaofanyika katika Kikuu cha Havard nchini
Marekani.
MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MWENYEKITI WA
KAMATI YA TEIT
-
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali Hamza Johari amekutana na kufanya mazungumzo
na Mwenyekiti wa Kamati ya Taasisi ya Uhamasishaji, Uwazi na Uwajibikaji
Katika R...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment