Meneja
Masoko wa Kampuni ya Tanzania Hair Industry ltd James Walwa – Jimmy
akimkabidhi mbunifu wa mavazi nchini Ally Rehmtullah tiketi kwa ajili ya
kwenda kuiwakilisha Afrika Mashariki katika mkutano wa ‘The Economics
of the Africa Fashion Industry’ utakaofanyika nchini Marekani mwezi wa
Februari. Tanzania Hair Industry ltd ambao ndio watengenezaji wa nywele
maarufu aina ya Darling ndio wadhamini wa safari ya mbunifu huyu kwenye
mkutano huo wa kihistoria utakaofanyika katika Kikuu cha Havard nchini
Marekani.
TANZANIA YAJIPANGA KUWA KITOVU CHA UZALISHAJI WA DAWA AFRIKA, YAWAALIKA
WAWEKEZAJI WA CHINA
-
Na John Mapepele, Wu hani - China
Serikali ya Tanzania imesisitiza dhamira yake ya kujenga sekta imara ya
viwanda vya dawa na kuifanya nchi kuwa kitovu cha...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment