Waziri
wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe (kulia) akifafanua jambo kwa
Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam jana wakati akitangaza maamuzi
yaliyofikiwa na Bodi ya Wakurugenzi juu ya shutuma mbalimbali za
Viongozi wa Bandari. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu – Wizara ya Uchukuzi ,
John Mngodo na katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Mhandisi
Omar Chambo.
TPSC YAWAUNGANISHA WATAALAMU KUJADILI MATUMIZI YA AKILI MNEMBA KATIKA SEKTA
YA UMMA
-
Na Mwandishi Wetu — Dar es Salaam, 12 Februari 2026
Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kimeongoza mdahalo wa kitaalamu
uliolenga kujadili matumizi...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment