Waziri
wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe (kulia) akifafanua jambo kwa
Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam jana wakati akitangaza maamuzi
yaliyofikiwa na Bodi ya Wakurugenzi juu ya shutuma mbalimbali za
Viongozi wa Bandari. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu – Wizara ya Uchukuzi ,
John Mngodo na katikati ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Mhandisi
Omar Chambo.
TMDA YAUNGANISHA TANCIS NA RIMS, SASA WAINGIZAJI WA MIZIGO MIKUBWA YA
FORODHA KUTUMIA MFUMO WA TANCIS
-
MAMLAKA ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imewatangazia waingizaji wa mizigo
mikubwa ya forodha ya bidhaa za Dawa, Vifaa Tiba na Vitendanishi nchini,
kuwa mif...
41 minutes ago

No comments:
Post a Comment