Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, January 29, 2013

TAZAMA PICHA TATU ZA LULU BAADA YA DHAMANA KUKAMILIKA,AKIELEKEA URAIANI.



Lulu na mama yake mzazi wakilia baada ya kukutana nje ya Mahakama, Lulu amechiwa huru na Mahakama leo january 29 2013 mchana, pembeni ni mwigizaji Dr. Cheni ambae amekua karibu na familia ya Lulu kwa muda mrefu sana.
Lulu akiingia kwenye gari.
Machozi ya furaha.
Picha zote zimepigwa na habarimpya.com

No comments:

Post a Comment