Vurugu
kubwa Zimetokea mwanza kati ya polisi na wenye boda boda, milio ya
mabomu na risasi zilipigwa na kusikika eneo la makongoro mission jijini
mwanza.. Huduma za
usafiri zilisimama barabara ya kuelekea Airport jijini Mwanza baada ya
Polisi kutumia risasi za moto na za machozi kuwakabili waendesha
pikipiki maarufu kwa jina la bodaboda kwa kukiuka sheria. Hivyo kutokana
na mvutano huo jeshi la polisi limelazimika kutumia risasi za
moto kuwafukuza waendesha boda boda hao ni kuna taarifa kuwa
baadhi yao wamejeruhiwa vibaya katika vurugu hizo .
MPANGO WA VETA NA FUNDI MAHIRI KUKUZA MAFUNZO YA VITENDO KWA VIJANA
-
Katika jitihada za kuboresha ujuzi wa vitendo kwa wanafunzi wa ufundi
stadi, Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imezindua kampeni
ijulikana...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment