![]() Watu wawili bibi na kijana wakiwa wamemeza madawa ya kulevya(Cocain) | Thursday, February 07, 2013 10:28 AM Watu wawili bibi na kijana wakiwa wamemeza madawa ya kulevya(Cocain) walizidiwa ghafla Mwalimu Nyerere International Airport(JNIA). | |
| Watu wawili bibi na kijana wakiwa wamemeza madawa ya kulevya(Cocain) majina kapuni walizidiwa ghafla na kuanza kuomba msaada mara baada ya kufika sehemu ya kuondokea abiria kwenye uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere International Airport(JNIA). | ||
RAIS WA BURUNDI AMFARIJI RAIS SAMIA KIZIMKAZI ZANZIBAR
-
Rais wa Jamhuri ya Burundi, Mhe. Evariste Ndayishimiye, akimfariji Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, nyumbani
kwake...
1 week ago


No comments:
Post a Comment