![]() Watu wawili bibi na kijana wakiwa wamemeza madawa ya kulevya(Cocain) | Thursday, February 07, 2013 10:28 AM Watu wawili bibi na kijana wakiwa wamemeza madawa ya kulevya(Cocain) walizidiwa ghafla Mwalimu Nyerere International Airport(JNIA). | |
| Watu wawili bibi na kijana wakiwa wamemeza madawa ya kulevya(Cocain) majina kapuni walizidiwa ghafla na kuanza kuomba msaada mara baada ya kufika sehemu ya kuondokea abiria kwenye uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere International Airport(JNIA). | ||
NAIBU WAZIRI KIHENZILE AFUNGUA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA MAPITIO YA SEKTA
YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025 amefungua
rasmi Mkutano wa 18 wa Pamoja wa Mapitio ya Sekta ya Usafirishaji
unaofanyi...
20 minutes ago


No comments:
Post a Comment