Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, February 25, 2013

AIBUU...TIMBULO AKAMATWA NA DAWA ZA KULEVYA BURUNDI..Angalia PICHA AKIWA NA MADAWA


Kuna tetesi kuwa msanii wa Bongo flava maarufu kwa jina la Timbulo, ambaye amepata umaarufu mkubwa kutokana na umahiri wa kuimba katika nyimbo
 zake kadhaa kama  Domo Langu, Waleo Wakesho, Samson na Delilah, amekamatwa mjini Bujumbura kwa tuhuma za kukutwa na madawa ya kulevya. Timbulo alikuwa huko katika kufanya mipango ya kufanya maonyesho kadhaa nchini Burundi mwezi April mwaka huu.

No comments:

Post a Comment