Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, February 13, 2013

ANGALIA PICHA VITA KATI YA MGAMBO NA VIJANA WA MITAANI




VULUGU kubwa imezuka leo asubuhi mtaa wa Makongoro uliopo katikati ya mji wa Morogoro kati ya mgambo wa Manispaa na vijana wamitaani[Machokolaa] wanaofanya kazi ya kuosha magari yanayoegeshwa kwenye mtaa huo wenye maduka mengi ya watanzania wenye asili ya kiasia[Wahindi].

No comments:

Post a Comment