Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, February 13, 2013

BREAKING NEWS : R.I.P BK wa TMK Wanaume Halisi



Msanii wa kundi la Wanaume Family anayejulikana kwa jina la BK amefariki dunia leo katika hospitali ya Muhimbili kutokana na maradhi ya tumbo.

Akiongea na East Africa Radio Rich One kutoka Temeke alisema msanii huyo amekuwa akisumbuliwa na maradhi hayo tumbo kwa mda na alilazwa katika hospital tofauti kabla hajapelekwa muhimbili ambako mauti yamemkuta.


SOURCE EAST AFRICA RADIO

No comments:

Post a Comment