
Wa
pili kutoka kushoto ni mtangazaji wa Channel O Denrele Edun ambae
alikua rafiki mkubwa wa Goldie na ndioGoldie alifia mikononi mwake akiwa
amembeba, huu msiba ulihudhuriwa na watu wachache walioalikwa tu huko
Ikoyi Lagos Nigeria.
Imeripotiwa kwamba manenoya mwisho ya Goldie yalikua ni kumuomba baba yake amuombee apone maumivu makali ya kichwa aliyokua nayo ambapo Daily Post wameripoti tena kwamba staa huyo alifariki akiwa njiani kupelekwa hospitali, foleni ya magari siku hiyo ya wapendanao ilichangia kuchelewa kufika hospitali.
Chanzo mojawapo cha kifo chake ni shinikizo la damu na maradhi ya moyo.
















No comments:
Post a Comment