- Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Willfred Lwakatare akitoa maelekezo kwa vijana wake kwenda kutekeleza tukio la kumteka mwandishi wa habari
- CHADEMA wanatakiwa kutufafanulia watanzania, hii ni mikakati yao au wanachafuliwa?
- Serikali na vyombo vya Usalama watuambie watanzania, kwanini watu hawa bado hawajachukuliwa hatua?
- Kama video hii ni fake, mhusika (Lwakatare) anafahamu nani aliandaa video hii, awape ushirikiano polisi kumtia nguvuni mwandaaji kwa uchochezi!
HII NDO VIDEO YENYEWE
TASAC yakutana na wadau Wajenzi wa Meli Mwanza
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), leo tarehe 7 Mei, 2026
limefanya kikao na wadau wa ujenzi wa meli jijini Mwanza kwa len...
15 hours ago

No comments:
Post a Comment