HATARII...UGONJWA UTOKANAO na KUWEKA
LAPTOP MAPAJANI MWAKO PINDI UTUMIAPO.Huu ndo ugonjwa utokanao na kuweka
laptop mapajani.Kwa faida ya afya zetu thechoice inawakumbusha kuepuka
kutumia laptop kwa mtindo huo na yakupasa kutumia mbinu mbadala ili
kuweza kulinda afya zetu.
Airtel, Huawei waimarisha ushirikiano kukuza mageuzi ya kidijitali Tanzania
-
KAMPUNI ya mawasiliano ya simu ya Airtel Tanzania na kampuni ya teknolojia
ya Huawei zimethibitisha upya dhamira yao ya kuendelea kuimarisha huduma za
maw...
22 hours ago


No comments:
Post a Comment