HATARII...UGONJWA UTOKANAO na KUWEKA
LAPTOP MAPAJANI MWAKO PINDI UTUMIAPO.Huu ndo ugonjwa utokanao na kuweka
laptop mapajani.Kwa faida ya afya zetu thechoice inawakumbusha kuepuka
kutumia laptop kwa mtindo huo na yakupasa kutumia mbinu mbadala ili
kuweza kulinda afya zetu.
MAMA MARIAM MWINYI ATEMBELEA SHAMBA LA NGANO LA MLEIHA NA KITUO CHA URITHI
WA KIHISTORIA SHARJAH
-
Mke wa Rais wa Zanzibar, Msarifu na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa
Zanzibar Maisha Bora Foundation (ZMBF), Mama Mariam H. Mwinyi, leo tarehe
16 Janua...
33 minutes ago


No comments:
Post a Comment