Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, March 27, 2013

HEHEHEE HII POSTA MPYA AU BWAWANI?


Wakazi wa Jiji la Dar wakiwa katika harakati za kutaka kuvuka mara baada ya mvua kubwa kunyesha hapo jana eneo la Posta Mpya.
Baada ya Mvua Kubwa Kunyesha jana jijini Dar es Salaam na hii ndio hadha ya Mvua baada ya kunyesha.Eneo la Posta Mpya linavyoonekana mara baada ya mvua kukatika
Hali ilivyokuwa Posta Mpya jana mara baada ya mvua kunyesha

No comments:

Post a Comment