Hii
ni baada ya kitendo alichokifanya mwanadada huyu kwenye mahakama ya
akimu mkazi - Kisutu, jijini Dar es salaam juzi kwa kuweza kumtoa
msanii mwenzie "Kajala Masanja" aliyekuwa akikabiliwa na kesi
iliyomlazimu kuhukumiwa kifungo cha miaka mitano jela au faini ya
shilingi millioni 13 za kitanzania. Ndipo mwanadada huyu kujitolea kutoa
kiasi hicho cha pesa kwenye account yake na kuweza kumuokoa Kajala
dhidi ya huk
Serikali yaweka Mkakati Sekta ya Uzalishaji wa Dawa, yaanzisha Vivutio
Maalum Mloganzila na Kibaha
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam*
*Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza uwekezaji mkubwa wa
kimkakati katika sekta ya uzalishaji wa daw...
14 minutes ago

No comments:
Post a Comment