Waziri
wa Uchukuzi Dk Harrison Mwakyembe akizungumza na waandishi wa habari
katika bonanza la waandishi wa habari lililofanyika kwenye viwanja vya
Leaders Kinondoni jijini Dar es salaal leo, ambapo kumefanyika michezo
mbalimbali kwa timu shiriki zikitoka katika vyombo mbalimbali vya
habari, Dk. Harrison Mwakyembe akiwa kama mgeni rasmi amegawa nishani na
vikombe kwa washindi wa bonanza hili linaloandaliwa na chama cha
waandishi wa habari za michezo TASWA, Katika hotuba yake kwa wanahabari
Mwakyembe amesema kama kila mtu atataka kugombea uras nani atafanya
kazi nyingine? Akaongeza kuwa yeye anajikita zaidi kufanya kazi zake
katika wizara anayoitumikia ya Uchukuzi ili kuwatukia watanzania
Waziri
Mwakyembe akimvisha nishani mmoja wa wachezaji wakati alipotoa zawadi
kwa washindi kutoka kulia ni Katibu Mkuu wa TASWA Amir Mhando na Mkuu wa
Uhusiano na Sheria TBL Bw. Steven Kilindo
Mchezaji
wa Bloggers FC Muhidin Sufiani akibebwa juujuu mara baada ya kupachika
penati na kifungia timu yake wakati zilipopambana na timu ya chuo cha
DSJ na Bloggers FC kushinda kwa penati 3-2















CREDIT FULLSHANGWE BLOG
No comments:
Post a Comment