Hakimu
anayesikiliza Kesi ya Lwakatare (CHADEMA) katika mahakama ya Kisutu Mh.
Katemana yupo likizo kwa wiki mbili na hivyo Mahakama imeshindwa kutoa
dhamana kwa Lwakatare na kuipiga kalenda kesi hiyo mpaka Tarehe 27 Mei
Hata hivyo, Mawakili wa Lwakatare wanafanya juu chini ili waweze kupata dhamana yake japo juhudi zinaonekana kugonga mwamba.
Serikali Yaendelea Kuimarisha Ushirikiano na Puma Energy Tanzania
-
*Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi na Naibu Waziri wa nishati Mhe.
Salome Makamba wakiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Puma Energy Tanzania. Bi.
Fatm...
8 hours ago


No comments:
Post a Comment