Raia
watatu wa UAE waliokuwa wamekamatwa wakikuhusishwa na tukio la mlipuko
wa Bomu huko Arusha wameachiwa huru na wamesharejeshwa nchini
mwao...Taarifa
zinadai kwamba, Raia hao hawahusiki na mlipuko wa bomu
hilo.Kilichotokea ni kwamba, siku ya tukio walikuwa karibu na eneo
la kanisa na ndo maana walikamatwa...Raia hao wameachiwa kwa ushirikiano mkubwa wa ubalozi wa UAE na Tanzania
SERIKALI ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA VIONGOZI WA DINI-DKT. MWIGULU
-
-Asema lengo ni kujenga Taifa lenye hofu ya Mungu, upendo, haki na
uwajibikaji
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 18, 2026 ameshiriki Ibada...
49 minutes ago


No comments:
Post a Comment