Raia
watatu wa UAE waliokuwa wamekamatwa wakikuhusishwa na tukio la mlipuko
wa Bomu huko Arusha wameachiwa huru na wamesharejeshwa nchini
mwao...Taarifa
zinadai kwamba, Raia hao hawahusiki na mlipuko wa bomu
hilo.Kilichotokea ni kwamba, siku ya tukio walikuwa karibu na eneo
la kanisa na ndo maana walikamatwa...Raia hao wameachiwa kwa ushirikiano mkubwa wa ubalozi wa UAE na Tanzania
MAKAMU WA RAIS AZINDUA AFISI YA UHAMIAJI WILAYA YA KATI UNGUJA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi ametoa wito kwa Wakazi wa Dunga mkoa wa Kusini Unguja kuendelea
kushi...
11 hours ago


No comments:
Post a Comment