Raia
watatu wa UAE waliokuwa wamekamatwa wakikuhusishwa na tukio la mlipuko
wa Bomu huko Arusha wameachiwa huru na wamesharejeshwa nchini
mwao...Taarifa
zinadai kwamba, Raia hao hawahusiki na mlipuko wa bomu
hilo.Kilichotokea ni kwamba, siku ya tukio walikuwa karibu na eneo
la kanisa na ndo maana walikamatwa...Raia hao wameachiwa kwa ushirikiano mkubwa wa ubalozi wa UAE na Tanzania
MIAKA 18 BAADAYE: JK AKUTANA TENA NA CATHERINE, BINTI ALIYEFANYIWA UPASUAJI
WA MOYO AKIWA NA MIAKA MINNE
-
RAIS mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo Mei 29, 2026
amekutana tena na Bi. Catherine P. Conrad Minja, aliyefanyiwa upasuaji wa
moy...
14 hours ago


No comments:
Post a Comment