Utajiskiaje
kuona Beyonce akiwa amevaa vazi lililotengenezwa kwa kanga yenye maneno
ya Kiswahili? ‘Wawili Ninyi Yawahusu….’ yanasomekana maandishi kwenye
vazi alilolivaa mwanamuziki wa Marekani, Beyonce Knowles.
Vazi
hili alilolivaa Beyonce kwenye moja ya show zake za tour ya Mrs Carter,
limetengenezwa na mwanamitindo wa Tanzania aishie jijini London
Uingereza, Christine Mhando mwenye brand ya Chichia London.
Chichia London ndio brand iliyo maarufu sana nchini Uingereza kwa
kutengeneza nguo za Kitanzania kwa kutumia Kanga na material mengine
Kiafrika.
Waziri Mkuu aagiza watumishi waliosababisha mifuko alfu moja kuganda,
wachukuliwe hatua
-
NA MASHAKA MHANDO, Handeni
WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba,
amemwagiza Katibu Mkuu Wizara ya elimu, sayansi na...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment