Utajiskiaje
kuona Beyonce akiwa amevaa vazi lililotengenezwa kwa kanga yenye maneno
ya Kiswahili? ‘Wawili Ninyi Yawahusu….’ yanasomekana maandishi kwenye
vazi alilolivaa mwanamuziki wa Marekani, Beyonce Knowles.
Vazi
hili alilolivaa Beyonce kwenye moja ya show zake za tour ya Mrs Carter,
limetengenezwa na mwanamitindo wa Tanzania aishie jijini London
Uingereza, Christine Mhando mwenye brand ya Chichia London.
Chichia London ndio brand iliyo maarufu sana nchini Uingereza kwa
kutengeneza nguo za Kitanzania kwa kutumia Kanga na material mengine
Kiafrika.
Fulham vs Aston Villa na Vita Ya Aalama tatu
-
Mchezo wa Ligi Kuu ya England kati ya Fulham na Aston Villa unaotarajiwa
kupigwa Aprili 25, 2026, ni pambano muhimu kwa timu zote mbili katika hatua
za m...
20 hours ago

No comments:
Post a Comment