Mkurugenzi wa Usalama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), Wilfred Lwakatare
Mahakama
ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imekubali kumwachia
Mkurugenzi wa Usalama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema),
Wilfred Lwakatare kwa dhamana ya Shilingi Milioni 10 za kitanzania.
Rais wa Singapore awasili nchini kwa ziara ya Kitaifa ya siku tatu
-
Rais wa Jamhuri ya Singapore Mhe.Tharman Shanmugaratnam, amewasili nchini
kwa Ziara ya Kitaifa ya siku tatu, Juni 8-10, 2026.
Katika Uwanja wa Ndege wa...
11 hours ago


No comments:
Post a Comment