Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, June 28, 2013

MBAYA wa DIVA AWASILI DAR ni The Boss Lady Huddah Monroe kutoka KENYA



Huddah akiwaupdate mashabiki wake wa Twitter baada ya kuwasili Dar


Huddah akiwa na mwenyeji wake, Arthur wa kampuni ya Unity Entertainment kwenye uwanja wa kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es Salaam


Huddan na Arthur wakielekea kwenye gari kwenda hotelini

Mid Year Bash imeandaliwa na kampuni ya SK Entertainment kwa kushirikiana na Unity Entertainment. Kiingilio ni shilingi 20,000 tu

No comments:

Post a Comment