MBAYA wa DIVA AWASILI DAR ni The Boss Lady Huddah Monroe kutoka KENYA
Huddah akiwaupdate mashabiki wake wa Twitter baada ya kuwasili Dar
Huddah akiwa na mwenyeji wake, Arthur
wa kampuni ya Unity Entertainment kwenye uwanja wa kimataifa wa Mwalimu
Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es Salaam
Huddan na Arthur wakielekea kwenye gari kwenda hotelini
Mid Year Bash imeandaliwa na kampuni
ya SK Entertainment kwa kushirikiana na Unity Entertainment. Kiingilio
ni shilingi 20,000 tu
WASHINDI WA TUZO YA TANZANIA COMEDY AWARDS 2025
-
*Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
ashiriki kwenye hafla ya utoaji tuzo za Wasanii wa Komedi Tanzania
(Tanzania Comed...
JOTI ASHINDA TUZO YA MCHEKESHAJI BORA MKONGWE
-
Tuzo ya Mchekeshaji Mkongwe imekwenda Kwa Lucas Mhuvile a.k.a Joti .
Joti anaondoka na tuzo ya pili Usiku wa tuzo za Ucheshi (TCA) ambapo awali
akikabidhiw...
Blog Zinazoanzia na Herufi ya W
-
*1. Wamtaani*
www.wamtaani.com
*2. Wanabidii Blog*
wanabidiiblog.blogspot.com
*3. Watanzania Waishio Nje ya Nchi*
watanzaniaughaibuni.blog...
Teknolojia : Kabudi Apongeza Waandishi wa Habari
-
Waandishi wa Habari 'Bloggers' kutoka Tanzania Bloggers Network (TBN)
ambao wameshiriki kikamilifu kwenye Kamati ya maandalizi ya mkutano huo
wakiwa k...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment