
Wanawasili: Manchester United wamewasili Bangkok kujiandaa kwa msimu mpya


Sare sare: Rio Ferdinand (kushoto) na Rooney kulia

NA BIN ZUBERY.

Vimwana sasa: Mashabiki wa Manchester United wakiwakaribisha wachezaji wao walipotua Thailand



Mwanzo mpya: David Moyes ataanza kazi rasmi baada ya kuchukua mikoba ya ukocha United

Moyes akiwa katika hospitali Siriraj mjini Bangkok

Heshima: Moyes na Ryan Giggs wakiwa wamesimama pembeni ya picha za Mfalme wa Thai, Bhumibol Adulyadej na Malkia Sirikit

Karibu: Kikosi cha United kimepokewa vizuri Bangkok

Karibuni: Manchester United walivyopokewa Bangkok

Tabasamu la kamera: Rio Ferdinand akipiga picha za video Thailand


Wakongwe: Ferdinand (kushoto) na Ryan Giggs kulia


No comments:
Post a Comment