Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Monday, July 15, 2013

CHOKORAA WANASWA KITUO CHA MABASI UBUNGO, WAFIKISHWA MAHAKAMANI DAR

Watoto wa mitaani 'Chokoraa' wakipelekwa kwenye gereza la watoto lililopo Kisutu jijini Dar es Salaam.


WATOTO wa mitaani ‘Chokoraa’ leo wamepandishwa kizimbani kwenye Mahakama ya Sokoine Drive jijini Dar na kufunguliwa mashitaka ya uzururaji. Watoto hao walinaswa kwenye msako uliofanyika kwenye kituo kikuu cha mabasi yaendayo mikoani ‘Ubungo Bus Terminal’.

No comments:

Post a Comment