Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, July 17, 2013

MWENGE WA UHURU WAINGIA KATAVI


MWANAFUNZI wa darasa la tatu katika shule ya msingi Kandaga wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma, Razalo Meshack (kulia) akizungumza katika makabidhiano ya mwenge wa uhuru kati ya mkoa Kigoma na mkoa Katavi katika makazi ya wakimbizi wa Burundi Mishamo wilaya ya Mlele mkoa Katavi (aliyesimama kushoto) ni kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru Juma Alli Simai

Mkuu wa mkoa Kigoma Issa Machibya (kushoto) akikabidhi mwenge wa uhuru kwa Mkuu wa mkoa Katavi Rajabu Rutengwe (kulia) baada ya mwenge huo kumaliza mbio za siku nane mkoani Kigoma ambapo ulipitia, kukagua, kuzindua na kufungua miradi 64 yenye thamani ya shilingi bilioni 13.7
(Picha zote na Fadhili Abdallah wa habarileo)

No comments:

Post a Comment