Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, August 29, 2013

CHEKA, PHIL WAPIMA UZITO KWA AJILI YA PAMBANO LA KESHO


Bingwa wa zamani wa dunia, Francois Botha (kushoto) wa Afrika Kusini aliyekuja kushuhudia pambano hilo akiingia ukumbi wa Maelezo.
Cheka akipima uzito.
Williams alifuatia.

Thomas Mashali akipima uzito.
Maugo naye akipima uzito.
Cheka na Wills wakiwa na mkanda wanaougombea.
Mashali (kushoto) na Maugo nao wakiwa na mkanda wanaougombea.
Cheka akipimwa afya na daktari wa TPBO, Donald Madono.
Mmarekani Wills naye akipimwa afya ambapo mabondia wote walionekana wako salama kwa ajili ya mpambano huo.
MABONDIA  Francis Cheka na mpinzani wake, Phil Williams wanaotarajiwa kutwangana kesho Ijumaa kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, kugombea mkanda wa ubingwa wa dunia wa WBF leo wamepima uzito kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo Jijini Dar es Salaam.
Mapambano ya utangulizi yatakuwa ni kati  ya Thomas Mashali na Mada Mago, Alphonce Mchumiatumbo na Chupaki Chipindi.

PICHA : RICHARD BUKOS / GPL 

No comments:

Post a Comment